Afrika Kusini

Hadithi za Bahá’u’lláh zikihadithiwa kwa lugha tofauti

Kikundi cha marafiki kutoka Tshwane, Afrika ya Kusini, walitengeneza video kwa ajili ya miaka mia mbili. Video hizo ziliwaonesha wakiwa wanahadithia hadithi, kila moja ilionesha upendo wa pekee kwa Bahá'u'lláh, kwa lugha tofauti.