Germany

Maonesho yakusisimua yafanyika Frankfurt

Katika wiki ya kwanza ya Oktoba, ukumbi mkubwa kwenye jengo maarufu huko Frankfurt lilionesha maonesho ya maisha ya Bahá’u’lláh. Jamii ya Wa bahá’í walikabidhiwa ukumbi huo na ofisi ya meya, pamoja na kuangalia picha, wageni walikaribishwa katika mkutano wa ibada kila mwisho wa siku. Maonesho yalivutia watu 27,000.