Cambodia

Mihuri ya ukumbusho kuoneshwa Cambodia kuenzi sherehe za miaka mia mbili

Wizara ya posta ya Cambodia inasheherekea miaka 200 ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Baha’u’llah kwa mihuri ya makumbusho. Mihuri, ambayo bado inatengenezwa, inatengenezwa kwa ushirikiano kati ya jamii ya kitaifa ya wa-Baha’i. Wawakilishi wa jamii ya wa-Baha’i wa Cambodia walikutana hivi karibuni na maofisa wa wizara kushiriki kuhusu jamii ya ki-Baha’i na Nyumba ya Ibada iliyozinduliwa hivi karibuni huko Battambang.