Brazil

Mji wa Brazil kumuenzi Bahá’u’lláh kwa uchongaji kuhusu umoja

Mji wa Brazil wa Mogi Guaçu wakienzi miaka mia mbili ya kuzaliwa kwa Baha’u’llah kwa michongo ambayo itawekwa katika eneo la wazi. Ilipendekezwa na Meya na kutengenezwa na msanifu wa eneo, mchongo huo utajengwa na kuwekwa baada ya sherehe za kuadhimisha miaka mia mbili.