Albania

Mti wa mzeituni wapandwa Albania

Kama mojawapo ya sherehe za miaka mia mbili ya kuzaliwa kwa Bahá’u’lláh, kikundi cha watoto na vijana, pamoja na walimu wao, wazazi, na marafiki walipanda mti wa mzeituni karibu na shule ya jirani karibu na Tirana, Albania.