Jamii ikisherekea sherehe za miaka mia mbili katika Nyumba ya Ibada Zaidi ya watu 1,000 walihudhuria sherehe tatu za kusherehekea sherehe za miaka mia mbili ndani ya siku tatu katika jamii zinazozunguka Nyumba ya Ibada huku Agua Azul, Colombia. Mikusanyiko hiyo yenye shauku ilikuwa pamoja na sala , nyimbo, maigizo, na mazungumzo kuhusu maisha ya Bab. Moja ya mikusanyiko, iliyofanyika kakika Nyumba ya Ibada, ilitia mkazo kwenye umuhimu wa muundo mtakatifu na umuhimu wa sala katika maisha ya jumuia.