Maongezi katika Nyumba ya Ibada kama sherehe ya miaka mia mbili Katika Nyumba ya Ibada ya Kibahá’í ya Panama City, Panama, wageni wa jengo hili takatifu wanaalikwa katika maongezi ya kila mwezi kuhusu Báb na Bahá’u’lláh na athari ya maisha na mafundisho yao juu ya jamii ya wanadamu.