Sala katika lugha ya Kiarmenia
Aya kutoka kwenye maandiko ya Bahá’u’lláh imewekwa kwenye muziki na muimbaji na wana muziki huko Armenia. Aya hiyo, iliyotamkwa mara ya kwanza na Bahá’u’lláh kule Shimo Jeusi la Tihrán mnamo1852, inasema, “Mungu ananitosheleza mimi; Yeye kwa kweli ni Mtosheleza yote! Kwake acha waaminio waamini.”