Sampuli ndogo kutoka miongoni mwa maonesho ya kisanaa yasiyohesabika yalioandaliwa na watu binafsi na jumuiya mbalimbali ulimwenguni kwa ajili ya tukio la miaka mia mbili tangu Kuzaliwa kwa Bahá’u’lláh.
Huku Santiago, Chile, jumuia ya Wabahá’í wa La Reina-jimbo karibu na Nyumba ya Ibada-waliandaa maonesho katika Kituo cha Utamaduni cha La Reina kuonesha picha na taarifa zinazohusiana na maisha na mafundisho ya Bahá’u’lláh.