Sampuli ndogo kutoka miongoni mwa maonesho ya kisanaa yasiyohesabika yalioandaliwa na watu binafsi na jumuiya mbalimbali ulimwenguni kwa ajili ya tukio la miaka mia mbili tangu Kuzaliwa kwa Bahá’u’lláh.
Wabahá’í wanaoishi Hackney London ya mashariki walialika wasanii wa mtaani kushiriki kwenye sherehe zilizohusiana na sherehe za miaka mia mbili kwa kutengeneza kazi za kipekee za sanaa zilizo hamasishwa na dhima kutoka mafundisho ya Bahá’u’lláh. Jamii ilionesha kazi za sanaa kwenye nyumba ya sanaa ya mtaani.