Sherehe
za Miaka Mia Mbili

Wakihamasishwa na maisha na mafundisho ya Bahá’u’lláh na Báb, mamilioni ya watu ulimwenguni kote waliadhimisha miaka 200 ya kuzaliwa kwa hawa Viongozi Pacha tarehe 21 na 22 Oktoba 2017 na 29 na 30 Oktoba 2019.